Skip to main content

Posts

Featured

MATUKIO YA UKEKETAJI YAENDELEA HANANG’

    MATUKIO ya vitendo vya ukatili vya uekeketaji bado vimeshamiri Wilayani Hanang’ Mkoani Manyara, ambapo inadaiwa asilimia 90 ya wanawake wa eneo hilo wamefanyiwa ukeketaji. Kwa mujibu wa wataalamu wa afya madhara makubwa yanayoweza kujitokeza kwa vitendo vya ukeketaji wa wanawake ikiwemo, kuzimia, fistula, kutokwa na damu nyingi wakati wa kujifungua mtoto, kuzimia, kupata uambukizo (Infection), kuambukizwa virusi vya ukimwi (VVU) na kupata Tetanus.   Madhara mengine ni maumivu ya Kisaikolojia, maumivu wakati wa kukojoa, kuziba kwa njia ya mkojo, kuchanika vibaya wakati wa kujifungua, maumivu ya kisaikolojia, kuchelewa kujifungua na kifo. Hata hivyo, baadhi ya wananchi wanatupa lawama zao kwa taasisi zinazohusika na haki za wanawake na watoto kwani wanakaa maeneo ya mjini huku vijijini vitendo hivyo vikiendelea kushamiri kutokana na ukosefu wa elimu hiyo. Kwenye wilaya ya Hanang’ zaidi ya asilimia 90 ya wanawake wamefanyiwa ukeketaji huku polisi wakiendesha zoezi la kuw...

Latest Posts

MAKAMU MWENYEKITI WA CCM ZANZIBAR DK.SHEIN AONGOZA KIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR AFISI KUU YA CCM KISIWANDUI

JAJI SIYANI AJITOA KUSIKILIZA KESI YA MHE: MBOWE NA WENZAKE .

TMA YAPONGEZWA KWA KUTOA UTABIRI WENYE TIJA NCHINI

MAJAMBAZI WAUWAWA LEO JIJINI DAR

Fetty Wap kaivujisha hii mpya na anataka ikufikie; ‘In My Ways’

Kila wiki Ty Dolla $ign atoa single mpya, wiki hii anaisogeza; ‘Sitting Pretty’ feat. Wiz Khalifa

Sio mbaya ukaiongeza na hii mpya ya Chris Brown; ‘Sx you back to sleep’ kwenye playlist yako –

Kanye West ameamua kutoa zawadi hii kwa Rais Barack Obama…!

Baada ya Future na Drake, sasa French Montana na Fetty Wap kuja na mixtape yao!

ENTERTAINMENT Kanye West ana vituko sana… kaamua kufanya haya kwenye shindano la American Idol!

ENTERTAINMENT Huu ndio muonekano wa cover ya Album mpya ya Justin Bieber; ‘Purpose’.

MICHEZO Baada ya Wenger kuponda uamuzi wa Liverpool, Ferguson azungumzia uwezo wa Jurgen Klopp

WAKURUGENZI WATAKIWA KUTOA TAARIFA KUHUSU MADAI YA WALIMU

Magazeti ya Tanzania Octoba 10, 2015 yameamka na hizi>> TUSOME PAMOJA